Monday, 10 August 2015

TUTAPATA BARAKA KWA MUNGU



TUTAPATA BARAKA
Tutapata baraka kwa Mungu, tukitoa sadaka safi, tukutoa sadaka safi, tutabarikiwa X2
  • Bwana mimi ninapoitoa sadaka yangu hii (Shukrani ninayo moyoni sadaka yangu natoa)
  • Ninakuja mimi na vipaji, ninaleta mbele (moyoni mimi navitoa Bwana na uvitakase)
  • Matunda ninayo ya mashamba, fedha za mifukoni (vyote ninavyo navitoa navirudisha kwa Bwana)
  • Kama mimi niko na dosari Bwana naomba fadhili (sadaka yangu ipendeze nanyenyekea mbele yako)

No comments:

Post a Comment