NISEME NINI BASI
Niseme nini basi juu ya mama
Yetu Maria (Mama Bikira Maria)
Mama mpendelevu mama mwenye neema *2
Yetu Maria (Mama Bikira Maria)
Mama mpendelevu mama mwenye neema *2
- Wakati wa majaribu mwombezi wetu ni Maria (Mama yetu)
Wakati wa mashaka kimbilio letu ni Mama(Maria) - Mama uliyeumbwa pasipo dhambi ya asili()
Ukamzaa mwanao mkombozi wa walimwengu (Maria) - Moyo wako wa heri moyo safi moyo mweupe ()
Nijalie neema nishinde majaribu yote (Maria) - Mama wa Mkombozi mnara wetu wa Mbinguni ()
Mwangaza wetu sisi tunaosafiri gizani (Maria)
Nifike kwa Mwanao anakoketi uwinguni (Maria)
No comments:
Post a Comment