NJOONI WATU WOTE
11.
Njooni watu wote (leo)
Njooni tumwabudu (Mungu)
Tumshukuru
Kwa
sababu ametutendea mema (Mungu wetu)
Kwa
sababu ametujalia mema (basi leo)
Tufurahi
na kushangilia sana
22.
Wakubwa kwa wadogo(nyote)
Wake kwa waume (njooni)
33.
Tuimbe kwa shangwe (leo)
Tucheze na ngoma (pia)
44.
Ametulinda vyema (pia)
Ametubariki (sote)
55.
Ametujalia (vyote)
Tutoe kwa moyo (mwema)
No comments:
Post a Comment