Monday, 10 August 2015

KARAMUNI KWA MARINGO



KARAMUNI KWA MARINGO
 Yumo humu, Mwokozi Yesu,
Kwenye mzabibu na ngano tamu
Ni mpole ni mwema ni mzima
{Waumini (haya), simameni,
polepole, kwa maringo,
Jongeeni karamuni (mpate)
mpate kumwonja Mwokozi Yesu } *2
  Ekaristi ni jina lake, pamoja nasi, Mungu mwenyewe
Ndani yetu nasi ndani yake
  Alitoa, jioni ile, kwa kumbukumbu, yake milele,
Tule tunywe wote tuokoke
  Tugeuze, maisha yetu, yakafanane, na meza hii
Huruma, upendo msamaha

No comments:

Post a Comment