Mimi Ninakuja
[b:] Mimi ninakuja,
[w:] Mimi ninakuja na zawadi zangu, Bwana pokea
- Mkate na
divai - Bwana pokea
Mazao ya mashamba -
Na pia nafsi zetu -
Vyote tulivyo navyo - - Furaha na
uchungu -
Na kiini cha ngano -
Na tunda la Mzabibu -
Fedha za mifukoni - - Nafaka
upokee -
Twakutolea vyote -
Kwako Baba Muumba -
Kwa njia ya Mwokozi - - Katika
mfariji -
Ipate kugeuzwa -
Iweze kutufaa -
Pokea twakuomba - - Ingawa ni
kidogo -
Twakutolea kwa moyo -
Baba usikatae -
Vipaji vya wanao –
No comments:
Post a Comment